Mwameja amesema timu nyingi kutoka Uarabuni zimekuwa na matukio ya kunyong'onyeza wapinzani ndio maana wanakuwa na kisasi katika mechi za marudiano na ndicho kinachomfanya michezo dhidi yao kuwa migumu na ushindani.
Tazama mahojiano haya hadi Mwameja amezungumzia mchezo wetu wa fainali dhidi ya RS Berkane kesho.