Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mutale atoboa siri ya kiwango chake mchezo dhidi ya Namungo

2 Oct 2025

Mutale amesema tuliingia kwenye mchezo wa jana tukiwa tunahitaji alama tatu na jambo la kushukuru zimepatikana kwa kuonyesha kiwango safi na mashabiki wamefurahi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Mutale amesema baada ya mapumziko ya kupisha kalenda ya FIFA tutarejea kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story