Mutale ambaye amechaguliwa mchezaji bora wa mchezo huo amesema tangu kuanza kwa mashindano haya tulikuwa bora na hakufika fainali kwa bahati bali jitihada.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mutale amekiri kufurahi kuchaguliwa mchezaji bora ingawa ingependeza zaidi kama tungetwaa ubingwa.