Simba Sports Club
News

VIDEO: 'Muso', Nampoka wasimulia tulivyoitoa Zamalek mwaka 2003

21 Apr 2023

Wawili hao wamesema haikuwa rahisi na Zamalek walikuwa 'wamoto' Afrika nzima ilikuwa inawaogopa lakini walikuwa majasiri na waliapa kuhakikisha tunawatupa nje na tulifanikiwa..

Tazama mpaka mwisho kuona mahojiano yote waliyofanya na Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally.

Advertisement
Back to homepage
Share this story