Mukwala amesema Simba ni timu kubwa Afrika na kila mchezaji anatamani kucheza hapa hivyo hata yeye aliamini kuna siku atajiunga nasi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mukwala amezungumzia pia kuhusu presha ya mashabiki.
Mukwala amesema Simba ni timu kubwa Afrika na kila mchezaji anatamani kucheza hapa hivyo hata yeye aliamini kuna siku atajiunga nasi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mukwala amezungumzia pia kuhusu presha ya mashabiki.