Mukwala amesema wakati anaingia alikuwa anajua atafunga bao na amefanikiwa kufanya hivyo kitu ambacho amepanga kukifanya mara zote
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mukwala amezungumzia mipango yake ya msimu huu mzima.
Mukwala amesema wakati anaingia alikuwa anajua atafunga bao na amefanikiwa kufanya hivyo kitu ambacho amepanga kukifanya mara zote
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mukwala amezungumzia mipango yake ya msimu huu mzima.