Mukwala amesema kama mshambuliaji lengo lake akiingia uwanjani ni kuhakikisha timu inapata mabao mengi kwa yeye kufunga au kusaidia kupatikana (kutoa Assisti).
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mukwala amewapongeza mashabiki kwa kujitokeza kwa wingi uwanjani kuwapa sapoti wachezaji.