James ambaye anasoma nchini Morocco amesema nguvu kubwa wanayoipata Raja wakiwa nyumbani ni uwepo wa mashabiki wao ambao wanashangilia kwa nguvu mwanzo mpaka mwisho.
Hata hivyo James ambaye ni shabiki wa Waydad Casablanca amesema anaamini tunaweza kupata ushindi kwenye mchezo wa leo kama walivyofanya kwetu.
Advertisement
Tazama mpaka mwisho mahojiano yote aliyofanya na Meneja Habari na Mawalisiano wa klabu, Ahmed Ally.