Ahmed amesema baada la msimu kumalizika rasmi leo zoezi linalofuata ni usajili ambao msimu huu tunejipanga kutuvuliza vichwa zaidi ili kuleta wachezaji watakaokuwa na tija zaidi kikosini.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu ushiriki wetu wa Kombe la Shirikisho msimu ujao.