Abbas amesema kikosi kitaendelea kufanya mazoezi katika mji wa Ismailia kabla ya kuondoka siku moja kabla ya mchezo kuelekea Suez ambapo kutapigwa mechi yenyewe.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas amezungumzia maandalizi yote kwa ujumla.
Abbas amesema kikosi kitaendelea kufanya mazoezi katika mji wa Ismailia kabla ya kuondoka siku moja kabla ya mchezo kuelekea Suez ambapo kutapigwa mechi yenyewe.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas amezungumzia maandalizi yote kwa ujumla.