Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mratibu wa timu azungumzia maandalizi nchini Misri

29 Mar 2025

Abbas amesema kikosi kitaendelea kufanya mazoezi katika mji wa Ismailia kabla ya kuondoka siku moja kabla ya mchezo kuelekea Suez ambapo kutapigwa mechi yenyewe.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas amezungumzia maandalizi yote kwa ujumla.

Advertisement
Back to homepage
Share this story