Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mratibu wa timu atoa ratiba nzima baada ya timu kutua Ivory Coast

20 Feb 2024

Abbas amesema hali ya hewa ni joto kama ilivyo jijini Dar es Salaam na timu itafanya mazoezi usiku kwakuwa ndio muda ambao mchezo wetu utapigwa na ndivyo kanuni zinavyotoka.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas amezungumzia ratiba nzima ya timu kuanzia kesho hadi Ijumaa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story