Abbas amesema baada ya kikosi kufika Arusha mchana leo jioni kimefanya mazoezi na kesho kitafanya mazoezi ya mwisho kabla ya Alhamisi kushuka dimbani.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas ametoa ratiba nzima ya timu ikiwa jijini Arusha.
Abbas amesema baada ya kikosi kufika Arusha mchana leo jioni kimefanya mazoezi na kesho kitafanya mazoezi ya mwisho kabla ya Alhamisi kushuka dimbani.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas ametoa ratiba nzima ya timu ikiwa jijini Arusha.