Abbas amesema mazoezi yatakuwa ni asubuhi na jioni kwa siku nne za kwanza kabla ya utaratibu kubadilika baadae kulingana na matakwa ya benchi la ufundi.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili kujua utaratibu mzima wa timu kwa siku zote itakapokuwa Uturuki.