Abbas amesema hali ya hewa ya Zanzibar haitofautiani na Dar es Salaam ambapo kikosi kitapata nafasi ya kufanya mazoezi kwa siku mbili kabla kushuka dimbani Jumamosi kuikabili Muembe Makumbi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Abbas ametoa ratiba nzima ya timu kuanzia sasa mpaka tutakapo hitimisha michuano hii.