Abbas amesema taratibu zote kwa ajili ya mchezo zimefuatwa na baada ya wachezaji kupumzika leo usiku kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho kujiweka sawa kabla ya kushuka dimbani kesho.
News
VIDEO: Mratibu aelezea kinachoendelea baada ya timu kutua Morocco
30 Mar 2023