Mpanzu amesema kwa sasa amefikia asilimia 70 ya kiwango chake huku alifanya juhudi ili kufika asilimia 100 na kuisaidia timu kwenye mashindano mbalimbali.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Mpanzu amezungumzia kuhusu mchezo wetu unaofuata dhidi ya Coastal Union.