Kazi amesema mlinzi wa getini wa shule ya Makumbusho ndiye aligundua kipaji chake kabla ya kukutana na kocha Nico Kiondo ambaye alimleta Simba B.
Kwa upande wake, Chilunda amesema amenzia kwenye majaribio ya vijana wadogo pale Azam FC kabla ya kucheza timu B na baadae timu ya wakubwa.
Advertisement
Tazama mahojiano haya hadi mwisho ili kujua masuala mbalimbali kuhusu nyota hawa na mipango yao ya baadae baada ya kutua Simba.