Mligo amesema imekuwa jambo la kushangaza kwake kucheza mbele ya mashabiki wengi waliokuwa wanashangilia mwanzo mwisho huku akiweka wazi kuwa kila kilikuwa bora kwake.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mligo ameweka wazi kuwa malengo yetu kwa sasa ni kushinda mchezo wa Ngao ya Jamii.