Baada ya kuwasili kambini Miquissone amesema amekuja kufanya kazi na yupo tayari kuitumikia timu kufikia malengo tuliyojiwekea msimu huu.
Kesho ataanza rasmi mazoezi ya utimamu wa mwili chini ya kocha wa viungo kabla ya kuungana na wenzake uwanjani.
Advertisement
Tazama hadi mwisho video hii kuona jinsi alivyofika na kupokelewa.