Mwana FA amesema amefurahishwa na hali ya wachezaji kujisikia vibaya licha ya ushindi kwakuwa inaonyesha walihitaji kufanya vizuri zaidi na anaamini kwenye mchezo wa marudiano tutatinga fainali.
News
Videos
VIDEO: Mh. Mwana FA awatoa shaka wachezaji kuhusu fainali Shirikisho Afrika
20 Apr 2025