Mgunda amezitaja sababu hizo kuwa ni kutokana na Mtibwa kuwa nyumbani, ligi kuelekea ukingoni na pia tuliwafunga kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza hivyo watapambana na wao kutafuta pointi tatu.
News
VIDEO: Mgunda: Mchezo dhidi ya Mtibwa utakuwa na ushindani mkubwa
10 Mar 2023