Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mgunda atoa neno ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya FAD

19 Aug 2024

Mgunda amesema michuano hii inawakutanisha Mabingwa kama ilivyo sisi hivyo hatutaidharau timu yoyote kwakuwa tunahitaji kutwaa ubingwa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgunda amezungumzia pia kuhusu maandalizi ya mchezo unaofuata.

Advertisement
Back to homepage
Share this story