Mgunda amesema mazuri yaliyofanyika katika mchezo wa leo yataboreshwa na yale mapungufu yatafanyiwa kazi lengo likiwa kuhakikisha tunapata pointi tatu kwenye kila mechi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgunda amewamwagia sifa pia wachezaji kwa kazi kubwa waliyofanya.