Simba Sports Club
News

VIDEO: Mgunda aelezea mipango ya timu baada ya kupoteza mchezo wa kwanza

13 Feb 2023

Mgunda amesema mapungufu yaliyojitokeza kwenye mchezo huo benchi la ufundi limeyaona na litayafanyia mazoezini kabla ya mchezo dhidi ya Raja.

Tazama mahojiano yote aliyofanya kocha Mgunda na Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally.

Advertisement
Back to homepage
Share this story