Simba Sports Club
News

VIDEO: Mgunda aelezea mipango mechi dhidi ya Polisi, Coastal

2 Jun 2023

Mgunda amesema zitakuwa mechi ngumu kutokana na wapinzani wetu kutokuwa kwenye nafasi nzuri katika msimamo lakini mipango ya timu ni kupambana kushinda.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili kujua alichosema Mgunda kuhusu msimu mzima wa 2022/23.

Advertisement
Back to homepage
Share this story