Mgunda amesema tuna kikosi imara na hata usajili wa nyota wapya waliosajiliwa umezingatia mahitaji ya timu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgunda amezungumzia pia kuhusu malengo ya nchi ambayo yanashabihiana na ya klabu
Mgunda amesema tuna kikosi imara na hata usajili wa nyota wapya waliosajiliwa umezingatia mahitaji ya timu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Mgunda amezungumzia pia kuhusu malengo ya nchi ambayo yanashabihiana na ya klabu