Simba Sports Club
News

VIDEO: Mgunda aelezea maandalizi ya mchezo wa kesho dhidi ya Wydad

27 Apr 2023

Mgunda amesema wachezaji wapo tayari kimwili na kiakili kupambana na Wydad huku wakijua hataikuwa mechi rahisi hata kidogo.

Tazama mahojiano yote aliyofanya, Mgunda na Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally huku akigusia pia suala la Moses Phiri

Advertisement
Back to homepage
Share this story