Simba Sports Club
News

VIDEO: Mgunda aelezea hali ya kikosi baada ya kurejea mazoezini

25 Jan 2023

Mgunda amesema kila kocha anatamani kuwa na kikosi chake kamili anapofanya maandalizi ya mchezo ili awe na wigo mpana kujiandaa.

Mgunda pia amezungumzia usajili wa nyota wapya tuliowasajili dirisha dogo, tazama mahojiano yote aliyofanya na Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally.

Advertisement
Back to homepage
Share this story