Igendia amesema mlinda mlango Ayoub Lakred amebaki kutokana na kutumikia adhabu ya kadi tatu za njano wakati Willy Onana na nahodha John Bocco wao wanauguza majeraha.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya Meneja Igendia amezungumzia pia kuhusu hali ya kikosi tangu kilipotua jana nchini Ivory Coast.