Igendia ameongeza kuwa yeye katika Kitengo chake amejipanga kuhakikisha anakuwa kiungo baina ya wachezaji na benchi la ufundi ili kumfanya kocha mkuu kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.
Fuatilia hadi mwisho mahojiano haya kuona mipango aliyoainisha mtaalamu huyu.