Rweyemamu amesema baada ya timu kufika Arusha leo jioni wachezaji watafanya mazoezi ya utimamu wa mwili na kesho kitaanza safari ya kuelekea Manyara tayari kwa mchezo Jumamosi wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup dhidi ya Singida Black Stars.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Rweyemamu amezungumzia pia hali ya wachezaji wote tuliosafiri nao.