Rweyemamu amesema ana uzoefu wa kufanya kazi na wachezaji mbalimbali wenye tabia tofauti hata hawa waliopo kikosini ingawa ni vijana wadogo hawatampa changamoto yoyote.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Rweyemamu amezungumzia pia benchi la ufundi na maono ya Kocha Fadlu.