Kocha Fadlu amesema tulikuwa na uwezo wa kupata ushindi mnono wa zaidi ya mabao manne mpaka matano lakini hatukuweza kuzitumia vizuri nafasi tulizopata.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia kuhusu mabadiliko ya wachezaji aliyofanya.