Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo isipokuwa Ally Salim, Edwin Balua na Mohamed Hussein ambao wameitwa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'.
Tazama video hii hadi mwisho kuona jinsi mazoezi hayo yalivyokuwa.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo isipokuwa Ally Salim, Edwin Balua na Mohamed Hussein ambao wameitwa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars'.
Tazama video hii hadi mwisho kuona jinsi mazoezi hayo yalivyokuwa.