Ahmed amesema sisi ni timu bora na tumetoka kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika lakini makosa mawili tuliyofanya wenzetu wameyatumia na kutuadhibu.
Tazama Video hii mpaka mwisho Ahmed amezungumzia pia mchezo wetu unaofuata dhidi ya Coastal Union.