Masinde amesema wachezaji wengi walioanza hawakuwa wakipata nafasi kwenye kikosi cha kwanza hivyo kila mmoja alikuwa anataka kuonyesha uwezo wake.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Masinde amezungumzia pia mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons.
Masinde amesema wachezaji wengi walioanza hawakuwa wakipata nafasi kwenye kikosi cha kwanza hivyo kila mmoja alikuwa anataka kuonyesha uwezo wake.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Masinde amezungumzia pia mchezo unaofuata dhidi ya Tanzania Prisons.