Mashabiki hao wamesema wameikumbuka timu yao na sio mara nyingi wanapata nafasi ya kuiona Mubashara uwanjani hapo kwahiyo hii kwao ni kama fursa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho uone Mandhari ya jiji la Mwanza pamoja na shughuli za kiuchumi ikiwemo uvuvi.