Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Manula asema ilikuwa mechi ya kufa na kupona

19 Nov 2024

Manula amesema kila Mtanzania matarajio yake yalikuwa kuiona Taifa Stars ikifuzu AFCON kwa mara ya nne ambapo wachezaji walikuwa wanajua kitu gani wanapswa kufanya.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Manula amezungumzia furaha yake ya kuiwezesha Tanzania kufuzu kwa mara ya tatu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story