Simba Sports Club
News

VIDEO: Malengo ya Simba Queens nikurudi na Ubingwa wa CECAFA...

14 Aug 2024

Ahmed amesema Queens ndio timu iliyowekeza kwa kiasi kikubwa na ina wachezaji wenye ubora ndicho kitu kinachotupa jeuri ya kurudi na taji lenyewe.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia ubora wa kocha Mkuu Juma Mgunda.

Advertisement
Back to homepage
Share this story