Bocco alijiunga nasi Julai 11, 2017 akaitokea Azam FC na leo tunamuaga ingawa amepatiwa majukumu mengine ndani ya klabu lakini hataonekana katika kikosi cha timu ya wakubwa kuanzia Leo.
Fuatilia makala hii fupi ambayo imebeba historia ya miaka saba ya Bocco ndani ya kikosi chetu.