Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Mahojiano ya kwanza ya Kocha Fadlu kuhusu timu

12 Jul 2024

Kocha Fadlu amesema kambi ya Misri ni mahususi kwa ajili ya kuandaa kikosi imara ambacho kitakuwa na uwezo na kushindana kwenye kila mchezo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia kuhusu viwango vya wachezaji mmoja mmoja.

Advertisement
Back to homepage
Share this story