Kocha Fadlu amesema kambi ya Misri ni mahususi kwa ajili ya kuandaa kikosi imara ambacho kitakuwa na uwezo na kushindana kwenye kila mchezo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia kuhusu viwango vya wachezaji mmoja mmoja.
Kocha Fadlu amesema kambi ya Misri ni mahususi kwa ajili ya kuandaa kikosi imara ambacho kitakuwa na uwezo na kushindana kwenye kila mchezo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia kuhusu viwango vya wachezaji mmoja mmoja.