Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Maandalizi ya Jwaneng yamekamilika

1 Mar 2024

Ahmed amesema hamasa zimefanyika, wachezaji wamefanya mazoezi ya mwisho na Uongozi umehakikisha kila kitu kinachotakiwa kinapatikana kwa wakati kilichobaki ni mashabiki kujitokeza kwa wingi uwanjani ili tupate tiketi ya kufuzu robo fainali.

Tazama Mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu utaratibu wa mchezo utakavyokuwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story