Simba Sports Club
News

VIDEO : Lukula Najivunia timu yangu

13 Nov 2022

Lukula amesema ukitaja timu bora 10 Afrika upande wa wanawake sisi tupo nafasi ya nne na hiyo inaonyesha ukubwa wa Simba kwa ujumla.

Lukula amesema moja ya changamoto tuliyokutana nayo kwenye michuano hii ni kutotumia vema nafasi tunazotengeneza hivyo washambuliaji wetu wanapaswa kuongeza umakini.

Advertisement

Tumekuekea mahojiano hapa.

Back to homepage
Share this story