Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Licha ya kufungwa mabao sita Ahmed 'amvulia kofia' Mlinda mlango wa Dodoma

14 Mar 2025

Ahmed amesema Dodoma wanapaswa kumshukuru mlinda mlango huyo kwakuwa bila ya umahiri wake walikuwa wanapata kipigo kikubwa zaidi ya kile cha mabao 6-0 tulichowapa leo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amesema tumewakomoa kwasababu walikutudhihaki baada ya kuwafunga bao moja mzunguko wa kwanza.

Advertisement
Back to homepage
Share this story