Ntibazonkiza amemuuliza Kibu kuhusu usajili wa nyota wapya tuliowasajili ambao wengi wanacheza kwenye nafasi yake ambapo amefunguka kuwa anajiamini na atahahakikisha anapata nafasi.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili ujue nini kinaendelea kwenye kambi ya timu yetu nchini Uturuki.