Kramo raia wa Ivory Coast amesema mwanzoni alikuwa akicheza nafasi ya mlinzi wa kushoto lakini alivyosogezwa mbele kila kitu kilibadilika.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili kufahamu kila kitu kuhusu nyota huyu ambaye tumemsajili kutoka ASEC Mimosas.