Kocha Mkuu Pablo Franco raia wa Hispania tayari ametua nchini leo kuanza kibarua cha kukinoa kikosi chetu.
Pablo 41, amepokelewa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA) tayari kuanza majukumu yake wakati tukijiandaa na mchezo wetu wa Ligi Kuu dhidi ya Ruvu Shooting, Novemba 19.