Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kocha Morocco afurahia kuivusha Simba Ligi ya Mabingwa Afrika

28 Sep 2025

Morocco amesema haikuwa rahisi kuichukua timu kwa muda mfupi ikiwa na inahitaji kushinda kmchezo wa marudiano kitu ambacho kilimfanya kukubali kuchukua mikoba hiyo kwakuwa aliamini anaweza.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Morocco amezungumzia kukosekana kwa mashabiki uwanjani.

Advertisement
Back to homepage
Share this story