Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kocha Mgunda azungumzia mchezo wa kesho dhidi ya Kawempe

20 Aug 2024

Kocha Mgunda amesema mazoezi ya michuano hii yanafanyika kabla ya kuanza kwakuwa hakuna muda wa kutosha kutokana na ratiba imebana lakini kila kitu kipo sawa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Mgunda amesema kila kitu kipo sawa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story