Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kocha Mgunda aelezea michuano ya CECAFA

23 Aug 2024

Mgunda amesema mchezo wa kwanza tulishinda kwa mabao 5-0 wa pili tukashinda 3-0 lakini leo tumetoka sare ya 2-2 na hiyo inaonyesha ugumu wa mashindano haya.

Tazama video hii mpaka mwisho Mgunda amezungumzia pia mchezo wa Nusu Fainali dhidi ya Polisi Bullets ya Kenya.

Advertisement
Back to homepage
Share this story